ZARI MAISHA MAGIC PLUS SEASON 2 MONDAY 18th FULL EPISODE 81



 Choma Choma Official Music Lyrics 


Intro

Rhoda Junior eeeh

Rhoda Senior aaah

Kujeni tutekeleze Desturi 

Na Mila Za hii Familia 

Lazima Mila na desturi zifuatwe 

Lazima zifuatwe 


Chorus 

Choma chomaa,Choma chomaa 

Chomaa chomaa , Choma chomaa 

Choma kabisa


Verse 1

Lucy ulijiona Malkia 

Kumbe wewe ni mnafiki

Mdomo wako watoa Maneno 

Yenye uvundo kama mizoga

Kumbe Jina laka lamaanisha

Shetani Malkia Wa uovu

Shindwe kabisa, Shindwee 


Chorus 

Choma chomaa,Choma chomaa 

Chomaa chomaa ,Choma chomaa

Choma kabisa



Verse 2

Lucy 

Ulijifanya unapenda Dylan

kumbe wewe Ni gold digger 

Kumbe Ni Mali Na Jina

Ulikua unatafuta, Ukasabaratisha

Familia yake kabisa

Roho yako Ni chafu 

Na nyeusi kama ibilisi

Mwanamke Mpumbavu

Asiye Na akili 


Chorus 

Choma chomaa,Choma chomaa 

Chomaa chomaa ,Choma chomaa

Choma kabisa



Bridge 

Mashabiki eeeh

Mashabiki aaah

Kujeni nyote tutekeleze 

Mila na desturi za familia


Wanafiki wote, chomaa chomaa

Magaidi wote , chomaa Choma

Wakora wote, Choma Choma


Chorus 

Choma chomaa, Choma chomaa 

Chomaa chomaa Choma chomaa

Choma kabisa



Outro 

Lucy hata ukifa

Hatutahuzunika

Tutakuja Kukula biriyani 

Na tukunywe chai ya TALASINI

Kwa mazishi yako! 

ZARI MAISHA MAGIC PLUS SEASON 2 MONDAY 18th FULL EPISODES 81





Comments

Popular posts from this blog

ZARI MAISHA MAGIC PLUS FRIDAY 15TH Season 2 EPISODE 80